Home Authors Posts by Said Al Habsi

Said Al Habsi

15 POSTS 0 COMMENTS

MADHEHEBU YA HAKI YA KIISLAMU

0
 بسم الله الرحمن الرحيم UTANGULIZI Shukurani zote ni kwa Allah mwenye kuneemesha kila neema juu ya waje wake, na Rehma na Amani ziwe kwa Mjumbe wake...

Zakat Calculator

0
Zakat ( Kiarabu: زكاة zakat , "Hiyo ipi humtakasa " ) ni aina ya kupewa sadaka - kutoa and Religious kodi katika Uislamu, Ambayo,...

DIBAJI

0
Assalaamu alaykum warahmatullahi taala wabarakaatuhu ndugu zangu, baada ya salamu rehma na amani zimfikie Bwana wetu mpenzi Nabii Muhammad na Swahaba zake watukufu na...

UTANGULIZI

0
  Zimekhitilafiana madhehebu za Kiislamu juu ya sifa na namna ya kuisali swala .. na khilafu kubwa iliyomo na yenye mjadala baina ya madhehebu hayo...

MAELEZO JUU YA MILANGO HUSIKA

0
MLANGO WA KWANZA: Rai ya Maibadhi kuhusu suala la kuinua na kufunga mikono katika swala, na nimebainisha rai ya Maibadhi na dalili zao juu ya...

MLANGO WA KWANZA – 1.RAI YA MAIBADHI KATIKA KUNYANYUA NA KUFUNGA...

0
RAI YA MAIBADHI KATIKA KUNYANYUA NA KUFUNGA MIKONO Maibadhi wanaona kuinua na kufunga mikono katika swala hakusihi kwa sababu hivyo ni vitendo vilivyozidi katika swala,...

MLANGO WA KWANZA – 2.Hadithi ya yule mtu aliyekosea kusali, na...

0
PILI Hadithi ya yule mtu aliyekosea kusali, na imepokewa katika njia mbili: 1-Kwa njia ya Abi Hurayrah (r.a) ambayo imekuja kwa ujumla, na hii ndiyo naswi...

MLANGO WA KWANZA – 3.Na simamisheni swala

0
Tatu Hakika swala Allah ametuamrisha kwa ujumla katika kitabu chake kitukufu amesema: 7{… وَأَقِيمُوْا الصَّلاَةَ }. Tafsiri yake: {Na simamisheni swala}. Na zimekuja baadhi ya aya zinazoashiria...

MLANGO WA KWANZA – 4.Salini kama mnavyoniona ninasali

0
  Nne:- Amepokea Imam Ahmad na Albukhary kwa njia ya Malik bnul Huwayrith (r.a) kuwa Mjumbe wa allah rehma na amani ziwe juu yake amesema: "...
0FansLike
0FollowersFollow
10,400SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS