Home Authors Posts by admin

admin

159 POSTS 1 COMMENTS

MLANGO WA KWANZA – 6.Hakika kila amali (zitalipwa) kutokana na nia...

0
  Sita Kwa hakika suala la kufunga na kuinua mikono hukumu yake haivuki zaidi ya kuwa ni mustahabbu (jambo linalopendelewa) kwa hao wanaojuzisha jambo hilo, hivi...

MLANGO WA KWANZA MWISHO – Hadithi zilizokuja katika kuinua na kufunga...

0
  Saba - Mwisho Wakati wa kuzichambua hadithi zilizokuja katika kuinua na kufunga mikono itadhirika ya kuwa hadithi zote hizo ni dhaifu au za kuzuliwa, na...

MLANGO WA PILI – 1.UCHAMBUZI KUHUSU HADITHI ZA KUINUA NA KUFUNGA...

0
UCHAMBUZI KUHUSU HADITHI ZA KUINUA NA KUFUNGA MIKONO SEHEMU YA KWANZA: HADITHI ZA KUINUA MIKONO 1-عن أبي هريرة رضي الله عنه قال : " كَانَ رَسُوْلُ اللهِ...

MLANGO WA PILI – 2.HADITHI ZA KUFUNGA MIKONO

0
SEHEMU YA PILI: HADITHI ZA KUFUNGA MIKONO 1- عَنْ وَائِل بن حُجْر(( أَنَّهُ رَأَى النَّبِيَّ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ رَفَعَ يَدَيْهِ حِيْنَ دَخَلَ فِي الصَّلاَةِ ،...

HITIMISHO

0
HITIMISHO Na kwa hivyo unaona ndugu msomaji, pupa ya Maibadhi ya kufanya amali kwa kufuata hadithi sahihi, na kuziacha kwao hadithi dhaifu, yote hayo kwa...

SALAMU ZA IDDI

0
ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR ALLAHU AKBAR WA LILLAAHIL-HAMDU Shukurani zote ni kwa Allah mwingi wa kuneemesha mwingi wa kukirimu, na rehma na amani...

SWALI LA 8: Kuonekana kwa mwezi

0
SWALI Sisi ni wanafunzi tunasoma India wala hatujui wakati gani tufunge; kwa sababu Waislamu hapa hufunga imma kwa kufuata Saudia au kwa kutumia kalenda bila...

SWALI LA 1: Wakati gani Zaka ilifaradhishwa?

0
SWALI LA - (1) Wakati gani Zaka ilifaradhishwa? JAWABU: Faradhi ya zaka Kwa pamojo ilifaridhashwa makka kwa kauli sahihi, kwa dalili ya aya za Makka ambazo zimezungumzia...

SWALI LA 2:Ni ipi nia inayo pasa kuileta kwa mtoaji zaka...

0
SWALI LA - (2) Ni ipi nia inayo pasa kuileta kwa mtoaji zaka na mpokeaji zaka? JAWABU Mtoaji zaka anuwie ibada kwa utowaji wake zaka, kwa kumtii...

SWALI LA 3:Ni zipi shuruti za (mali) ambazo zinawajibu kutolewa zaka...

0
SWALI LA - (3) Ni zipi shuruti za (mali) ambazo zinawajibu kutolewa zaka ? JAWABU Zaka ni haki maalumu ambayo inawajibu katika maali maalumu, na kupita wakati...
0FansLike
0FollowersFollow
10,400SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS