Home Athari za Maimamu 1. NASABU YA UISLAMU NDIO NASABU BORA

1. NASABU YA UISLAMU NDIO NASABU BORA

196
0

“Ama baada ya hayo,,

Hakika sisi ni wenye kusalimika walio wema ikiwa tutamcha Allah haki ya kumcha, na imenifikia barua yako ukitaja ndani yake kuwa mimi ni watu wa upendo wako na mwenendo wako na nasaha zako kwa yale aliyoyajaalia Allah baina baina yetu na baina yako katika Uislamu, basi hilo ndio nasabu iliyo bora zaidi, nalo ndio bora zaidi la kuwaunganisha watu, na kushikamana kamba zao kwa kamba zake”

(Barua za Imam Jabir bin Zaid Uk. 8).

Previous articleASALAM ALAYKUM ME NATAK KUULIZA NI SURA GANI UNASOMA UNAPOSWALI SALA YA USIKU? NA NI DUA GANI UNAISOMA?
Next article2. KUJIDOGOSHA NI CHEO KWA ALLAH NA UZURI.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here